6 Wewe mtu mvivu, mwangalie mchwa, zitafakari njia zake ili kupata busara.
7 Hana akida, afisa au mtawala,
8 lakini huandaa chakula chake wakati wa joto na wakati wa mavuno huweka hazina ili kula baadaye.
9 Ewe mtu mvivu, utalala hata lini? Wakati gani utainuka usingizini?”
10 Lala kidogo, sizia kidogo, kunja mikono kupumzika kidogo” -
11 ndipo umasikini wako utakapokujia kama mporaji na uhitaji wako kama askari wa vita.