Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 6:6-11 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 6:6-11 in Biblia ya Kiswahili

6 Wewe mtu mvivu, mwangalie mchwa, zitafakari njia zake ili kupata busara.
7 Hana akida, afisa au mtawala,
8 lakini huandaa chakula chake wakati wa joto na wakati wa mavuno huweka hazina ili kula baadaye.
9 Ewe mtu mvivu, utalala hata lini? Wakati gani utainuka usingizini?”
10 Lala kidogo, sizia kidogo, kunja mikono kupumzika kidogo” -
11 ndipo umasikini wako utakapokujia kama mporaji na uhitaji wako kama askari wa vita.
Mithali 6 in Biblia ya Kiswahili