Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 6:22-25 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 6:22-25 in Biblia ya Kiswahili

22 utembeapo, yatakuongoza; ulalapo yatakulinda, na uamkapo yatakufundisha.
23 Maana amri ni taa, na mafundisho ni nuru; kinga za kuadilisha za njia ya uzima.
24 Yanakulinda dhidi ya mwanamke malaya, dhidi ya maneno laini ya uzinzi.
25 Moyoni mwako usiutamani uzuri wake wala usitekwe katika kope zake.
Mithali 6 in Biblia ya Kiswahili