Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 5:18-21 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 5:18-21 in Biblia ya Kiswahili

18 Chemichemi yako ibarikiwe na umfurahie mke wa ujana wako.
19 Maana ni ayala apendezaye na kulungu mwenye uzuri. Matiti yake na yakujaze furaha muda wote; daima na utekwe na upendo wake.
20 Mwanangu, kwa nini uwe mateka wa malaya, kwa nini uyakumbatie matiti ya mwanamke mgeni?
21 Yehova huona kila kitu afanyacho mtu na huangalia mapito yake yote.
Mithali 5 in Biblia ya Kiswahili