Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 3:25-30 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 3:25-30 in Biblia ya Kiswahili

25 Usitishwe na hofu ya ghafula au uharibifu uliosababishwa na waovu unapotokea,
26 kwa maana Yehova utakuwa upande wako na ataulinda mguu wako usinaswe kwenye mtego.
27 Usizuie mema kwa wale wanaoyastahili, wakati utendaji upo ndani ya mamlaka yako.
28 Jirani yako usimwambie, “Nenda, na uje tena, na kesho nitakupa,” wakati pesa unazo.
29 Usiweke mpango wa kumdhuru jirani yako- anayeishi jirani nawe na yeye anakuamini.
30 Usishindane na mtu pasipo sababu, ikiwa hajafanya chochote kukudhuru.
Mithali 3 in Biblia ya Kiswahili