Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 31:5-9 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 31:5-9 in Biblia ya Kiswahili

5 Kwa sababu kama watakunywa, watasahau sheria ni nini, na kupotosha haki za wote walioonewa.
6 Wape kileo kikali watu wanaopotea na mvinyo kwa wale wenye kutaabika kwa uchungu.
7 Atakunywa na kusahau umasikini wake na hataikumbuka taabu yake.
8 Ongea kwa ajili yao wasioweza kuongea, kwa madai ya wote wanaopotea.
9 Ongea na uhukumu kwa vipimo vya haki na utetee dai la masikini na watu wahitaji.
Mithali 31 in Biblia ya Kiswahili