Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 31:21-25 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 31:21-25 in Biblia ya Kiswahili

21 Haogopi theluji kwa ajili ya kaya yake, kwa maana nyumba yake yote imevika kwa nguo nyekundu.
22 Hutengeneza matandiko ya kitanda chake, na huvaa nguo za kitani ya dhambarau safi.
23 Mume wake anajulikana malangoni, anapoketi na wazee wa nchi.
24 Hutengeneza mavazi ya kitani na kuyauza, na naleta mishipi kwa wafanyabiashara.
25 Amevaa nguvu na heshima, na wakati ujao huucheka.
Mithali 31 in Biblia ya Kiswahili