Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 26:15-18 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 26:15-18 in Biblia ya Kiswahili

15 Mtu mvivu hutia mkono wake kwenye sufuria na bado hana nguvu kuunyanyua kwenda kwenye kinywa chake.
16 Mtu mvivu ni mwenye hekima kwenye macho yake mwenyewe kuliko watu saba wenye ufahamu.
17 Kama mtu anayeshikilia masikio ya mbwa, ndivyo alivyo mpitajia anayepata hasira kwenye ugomvi ambao si wake.
18 Kama mtu mwendawazimu anayetupa mishale,
Mithali 26 in Biblia ya Kiswahili