Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 26:13-16 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 26:13-16 in Biblia ya Kiswahili

13 Mtu mvivu husema “Kuna simba kwenye barabara! Kuna simba katikati ya njia kuu!”
14 Kama mlango unavyogeuka kwenye bawaba zake, ndivyo alivyo mtu mvivu kwenye kitanda chake.
15 Mtu mvivu hutia mkono wake kwenye sufuria na bado hana nguvu kuunyanyua kwenda kwenye kinywa chake.
16 Mtu mvivu ni mwenye hekima kwenye macho yake mwenyewe kuliko watu saba wenye ufahamu.
Mithali 26 in Biblia ya Kiswahili