Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 24:9-12 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 24:9-12 in Biblia ya Kiswahili

9 Mipango ya mpumbavu ni dhambi na watu humchukia mwenye dhihaka.
10 Kama utakuwa dhaifu na mwenye kuogopa siku ya taabu, basi nguvu zako ni haba.
11 Waokoe wanaochukuliwa kwenda kwenye mauti na uwashikilie wale wanaopepesuka kwenda kwa mchinjaji.
12 Kama utasema, “Tazama, hatujui chochote juu ya hili,” je yule anayepima mioyo hajui unachosema? Na yule anayelinda maisha yako, je hajui? Je Mungu hatampa kila mmoja kile anachostahili?
Mithali 24 in Biblia ya Kiswahili