Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 24:28-31 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 24:28-31 in Biblia ya Kiswahili

28 Usitoe ushahidi dhidi ya jirani yako bila sababu na usidanganye kwa midomo yako.
29 Usiseme, “Mimi nitamtendea kile alichonitendea; nitalipiza kwa kile alichofanya.”
30 Nilikwenda jirani na shamba la mtu mvivu, nikapita kwenye shamba la mzabibu la mtu asiye na akili.
31 Miiba imeota kila sehemu, ardhi ilikuwa imefunikwa kwa upupu, na ukuta wake wa mawe ulikuwa umebomoka.
Mithali 24 in Biblia ya Kiswahili