Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 24:13-15 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 24:13-15 in Biblia ya Kiswahili

13 Mwanangu, kula asali kwa kuwa ni nzuri, kwa sababu matone ya sega la asali ni matamu unapoonja.
14 Hekima ndiyo ilivyo katika nafsi yako - kama utaitafuta, tumaini lako halitabatilika na kutakuwa na tumaini.
15 Usisubiri kwa kuvizia kama waovu ambao hushambulia nyumba ya mwenye haki. Usiiharibu nyumba yake!
Mithali 24 in Biblia ya Kiswahili