Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 24:1-4 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 24:1-4 in Biblia ya Kiswahili

1 Usiwe na husuda kwa wenye ubaya, wala usitamani kuambatana nao,
2 kwa sababu mioyo yao inapanga njama za vurugu na midomo ya huongea juu ya madhara.
3 Kwa hekima nyumba hujengwa na kwa ufahamu huimarishwa.
4 Kwa maarifa vyumba hujazwa vitu vyote vya thamani na utajiri wa kupendeza.
Mithali 24 in Biblia ya Kiswahili