Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 23:3-9 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 23:3-9 in Biblia ya Kiswahili

3 Usitamani vinono vyake maana ni chakula cha uongo.
4 Usifanye kazi sana ili kupata mali; uwe na busara ya kutosha ili ujue wakati wa kuacha.
5 Je utaruhusu macho yako yaangaze juu yake? Itaondoka, maana itawaa mabawa kama tai na kuruka angani.
6 Usile chakula cha yule mwenye jicho baya- na usiwe na shauku ya vinono vyake,
7 maana ni mtu mwenye kuhesabu gharama ya chakula. “Kula na kunywa!” anakuambia, lakini moyo wake haupo pamoja nawe.
8 Utatapika kiasi kidogo ulichokula na utakuwa umepoteza sifa zako njema.
9 Usiongee katika usikivu wa mpumbavu, maana atadharau hekima ya maneno yako.
Mithali 23 in Biblia ya Kiswahili