Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 22:10-15 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 22:10-15 in Biblia ya Kiswahili

10 Mfukuze mbali mwenye dhihaka, na ugomvi utaondoka, mashindano na matukano yatakoma.
11 Anayependa moyo safi na mwenye maneno ya neema, atakuwa rafiki yake mfalme.
12 Macho ya Yehova huyaangalia maarifa, bali huyapindua maneno ya wadanganyifu.
13 Mtu mvivu husema, “Kuna simba mtaani! Nitauwawa sehemu za njia.”
14 Kinywa cha malaya ni shimo lenye kina kirefu; hasira ya Yehova huchochewa dhidi ya yule anayetumbukia ndani yake.
15 Upumbavu umefungwa katika moyo wa mtoto, lakini marudi ya fimbo huutoa.
Mithali 22 in Biblia ya Kiswahili