Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 1:22-29 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 1:22-29 in Biblia ya Kiswahili

22 “Mpaka lini enyi wajinga mtapenda kuwa wajinga? Mpaka lini enyi wenye dhihaka mtapenda dhihaka, na hadi lini enyi wapumbavu, mtachukia maarifa?
23 Zingatia karipio langu; nitatoa mawazo yangu kwa ajili yenu; nitawafahamisha maneno yangu.
24 Nimeita, nanyi mkakataa kusikiliza; nimeunyosha mkono wangu, wala hakuna aliyezingatia.
25 Lakini mumedharau mafundisho yangu yote na wala hamkuzingatia maelekezo yangu.
26 Nitacheka katika taabu yenu, nitawadhihaki wakati wa kupatwa taabu-
27 hofu ya kutisha itawapata kama tufani na maafa yatawakumba kama upepo wa kisulisuli, taabu na uchungu vitawapata.
28 Halafu wataniita, nami sitawajibu; wataniita katika hali ya kukata tamaa lakini hawataniona.
29 Kwa sababu wamechukia maarifa na hawakuchagua kuwa na hofu ya Yehova,
Mithali 1 in Biblia ya Kiswahili