Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mithali 1:19-23 in Swahili (individual language)

Help us?

Mithali 1:19-23 in Biblia ya Kiswahili

19 Ndivyo zilivyo njia za kila ambaye hupata utajiri kwa udhalimu; mapato ya udhalimu huondoa uhai wa wenye utajiri.
20 Hekima inalia kwa sauti mtaani, inapaza sauti katika viwanja;
21 katika mitaa inalia kwa sauti kuu, kwenye maingilio ya milango ya mji inasema
22 “Mpaka lini enyi wajinga mtapenda kuwa wajinga? Mpaka lini enyi wenye dhihaka mtapenda dhihaka, na hadi lini enyi wapumbavu, mtachukia maarifa?
23 Zingatia karipio langu; nitatoa mawazo yangu kwa ajili yenu; nitawafahamisha maneno yangu.
Mithali 1 in Biblia ya Kiswahili