Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 1

Mithali 1:19-23

Help us?
Click on verse(s) to share them!
19Ndivyo zilivyo njia za kila ambaye hupata utajiri kwa udhalimu; mapato ya udhalimu huondoa uhai wa wenye utajiri.
20Hekima inalia kwa sauti mtaani, inapaza sauti katika viwanja;
21katika mitaa inalia kwa sauti kuu, kwenye maingilio ya milango ya mji inasema
22“Mpaka lini enyi wajinga mtapenda kuwa wajinga? Mpaka lini enyi wenye dhihaka mtapenda dhihaka, na hadi lini enyi wapumbavu, mtachukia maarifa?
23Zingatia karipio langu; nitatoa mawazo yangu kwa ajili yenu; nitawafahamisha maneno yangu.

Read Mithali 1Mithali 1
Compare Mithali 1:19-23Mithali 1:19-23