Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mhubiri 7:26-27 in Swahili (individual language)

Help us?

Mhubiri 7:26-27 in Biblia ya Kiswahili

26 Nikapata kufahamu kwamba uchungu kuliko kifo, ndivo alivyo mwanamke yeyote ambaye moyo wake umejaa mitego, na nyavu, na ambaye mikono yake ni minyororo. Yeyote ampendezaye Mungu ataponyoka kutoka kwake, lakini mwenye dhambi atachukuliwa naye.
27 “Tafakari kile nilichovumbua,” asema Mwalimu. “Nimekuwa nikiongeza uvumbuzi mmoja hadi mwingine ili kwamba nipate ufafanuzi wa ukweli.
Mhubiri 7 in Biblia ya Kiswahili