Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mhubiri 7:10-12 in Swahili (individual language)

Help us?

Mhubiri 7:10-12 in Biblia ya Kiswahili

10 Usiseme, “Kwa nini siku za zamani zilikuwa bora kuliko siku hizi?” Kwa kuwa sio kwa sababu ya hekima kwamba unauliza swali hili.
11 Hekima ni njema kama vitu vya thamani tunavyorithi kutoka kwa wazazi wetu. Inatoa faida kwa wale wanaoliona jua.
12 Kwa kuwa hekima hutoa ulinzi kama vile fedha inavyoweza kutoa ulinzi, lakini faida ya maarifa ni kwamba hekima humpa uhai kwa yeyote aliye nayo.
Mhubiri 7 in Biblia ya Kiswahili