Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mhubiri 3:3-6 in Swahili (individual language)

Help us?

Mhubiri 3:3-6 in Biblia ya Kiswahili

3 wakati wa kuua na wakati wa kuponya, wakati wa kubomo na wakati wa kujenga.
4 Kuna wakati wa kulia na wakati wa kucheka, wakati wa kuomboleza na wakati kucheza,
5 wakati wa kutupa mawe na wakati wa kukusanya mawe, wakati wa kukumbatia watu wengine wakati wa kutokumbatia.
6 Kuna wakati wa kutafuta vitu na wakati wa kutotafuta, wakati wa kutunza vitu na wakati wa kuvitupa,
Mhubiri 3 in Biblia ya Kiswahili