Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mhubiri - Mhubiri 3

Mhubiri 3:3-6

Help us?
Click on verse(s) to share them!
3wakati wa kuua na wakati wa kuponya, wakati wa kubomo na wakati wa kujenga.
4Kuna wakati wa kulia na wakati wa kucheka, wakati wa kuomboleza na wakati kucheza,
5wakati wa kutupa mawe na wakati wa kukusanya mawe, wakati wa kukumbatia watu wengine wakati wa kutokumbatia.
6Kuna wakati wa kutafuta vitu na wakati wa kutotafuta, wakati wa kutunza vitu na wakati wa kuvitupa,

Read Mhubiri 3Mhubiri 3
Compare Mhubiri 3:3-6Mhubiri 3:3-6