Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mhubiri 10:16-18 in Swahili (individual language)

Help us?

Mhubiri 10:16-18 in Biblia ya Kiswahili

16 Ole wako ardhi kama mfalme wako ni kijana mdogo, na kama viongozi wako huanza karamu ahsubuhi!
17 Lakini umebarikiwa ardhi kama mfalme wako ni mwana wa waungwana, na kama vingozi wako hula wakati muafaka, kwa nguvu, na sio kwa ulevi.
18 Kwa sababu ya uvivu paa huanguka. Na kwa sababu isiyo fanya kazi nyumba hupata ufa.
Mhubiri 10 in Biblia ya Kiswahili