Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mhubiri - Mhubiri 10

Mhubiri 10:16-18

Help us?
Click on verse(s) to share them!
16Ole wako ardhi kama mfalme wako ni kijana mdogo, na kama viongozi wako huanza karamu ahsubuhi!
17Lakini umebarikiwa ardhi kama mfalme wako ni mwana wa waungwana, na kama vingozi wako hula wakati muafaka, kwa nguvu, na sio kwa ulevi.
18Kwa sababu ya uvivu paa huanguka. Na kwa sababu isiyo fanya kazi nyumba hupata ufa.

Read Mhubiri 10Mhubiri 10
Compare Mhubiri 10:16-18Mhubiri 10:16-18