Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Matendo 21:35-36 in Swahili (individual language)

Help us?

Matendo 21:35-36 in Biblia Takatifu

35 Paulo alipofika kwenye ngazi, askari walilazimika kumbeba kwa sababu ya fujo za watu.
36 Kwa maana kundi kubwa la watu walimfuata wakipiga kelele, “Muulie mbali!”
Matendo 21 in Biblia Takatifu

Matendo ya Mitume 21:35-36 in Biblia ya Kiswahili

35 Basi alipofika kwenye ngazi, akachukuliwa na askari kwa sababu ya ghasia za umati.
36 Maana umati wa watu walimfuata na waliendelea kupiga kelele, “Mwondoeni huyu!”
Matendo ya Mitume 21 in Biblia ya Kiswahili