Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Matendo 15:4-5 in Swahili (individual language)

Help us?

Matendo 15:4-5 in Biblia Takatifu

4 Walipofika Yerusalemu walikaribishwa na kanisa, mitume na wazee; nao wakawapa taarifa juu ya yote Mungu aliyoyafanya pamoja nao.
5 Lakini waumini wengine waliokuwa wa kikundi cha Mafarisayo walisimama, wakasema, “Ni lazima watu wa mataifa mengine watahiriwe na kufundishwa kuifuata Sheria ya Mose.”
Matendo 15 in Biblia Takatifu

Matendo ya Mitume 15:4-5 in Biblia ya Kiswahili

4 Walipokuja Yerusalem, walikaribishwa na Kanisa na mitume na wazee, na waliwasilisha taarifa ya mambo yote ambayo Mungu amefanya pamoja nao.
5 Lakini watu fulani walioamini, waliokuwa katika kundi la Mafarisayo, walisimama nakusema, “ni muhimu kuwatahiri na kuwaamuru waishike sheria ya Musa.”
Matendo ya Mitume 15 in Biblia ya Kiswahili