Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Matendo 13:27-28 in Swahili (individual language)

Help us?

Matendo 13:27-28 in Biblia Takatifu

27 Kwa maana wenyeji wa Yerusalemu na wakuu wao hawakumtambua yeye kuwa Mwokozi. Wala hawakuelewa maneno ya manabii yanayosomwa kila Sabato. Hata hivyo, waliyafanya maneno ya manabii yatimie kwa kumhukumu Yesu adhabu ya kifo.
28 Ingawa hawakumpata na hatia inayostahili auawe, walimwomba Pilato amhukumu auawe.
Matendo 13 in Biblia Takatifu

Matendo ya Mitume 13:27-28 in Biblia ya Kiswahili

27 Kwa wale waishio Yerusalemu, na watawala wao, hawakumtambua kwa uhalisia, na wala hawakuutambua ujumbe wa manabii ambao husomwa kila Sabato; kwa hiyo walitimiliza ujumbe wa manabii kwa kumhukumu kifo Yesu.
28 Japokuwa hawakupata sababu nzuri kwa kifo ndani yake, walimwomba Pilato amuue.
Matendo ya Mitume 13 in Biblia ya Kiswahili