Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Matendo 6:14-15 in Swahili (individual language)

Help us?

Matendo 6:14-15 in Biblia Takatifu

14 Kwa maana tulikwisha msikia akisema eti huyo Yesu wa Nazareti atapaharibu kabisa mahali hapa na kufutilia mbali desturi zile tulizopokea kutoka kwa Mose.”
15 Wote waliokuwa katika kile kikao cha Baraza walimkodolea macho Stefano, wakauona uso wake umekuwa kama wa malaika.
Matendo 6 in Biblia Takatifu

Matendo ya Mitume 6:14-15 in Biblia ya Kiswahili

14 Kwani tumemsikia akisema kwamba huyu Yesu wa Nazareti atapaharibu mahali hapa na kuzibadili desturi tulizokabidhiwa na Musa.”
15 Kila mmoja aliyekuwa katika baraza, akaelekeza macho yake kumwangalia Stefano, nao wakauona uso wake ulikuwa kama uso wa malaika.
Matendo ya Mitume 6 in Biblia ya Kiswahili