Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Matendo 3:18-19 in Swahili (individual language)

Help us?

Matendo 3:18-19 in Biblia Takatifu

18 Lakini ndivyo Mungu alivyotimiza yale aliyotangaza zamani kwa njia ya manabii wote, kwamba ilikuwa lazima Kristo wake ateseke.
19 Basi, tubuni mkamrudie Mungu ili afute dhambi zenu.
Matendo 3 in Biblia Takatifu

Matendo ya Mitume 3:18-19 in Biblia ya Kiswahili

18 Lakini mambo ambayo Mungu aliwaambia mapema kwa vinywa vya manabii wote, kwamba huyu Kristo atateseka, sasa ameyatimiza.
19 Kwa hiyo, tubuni na mgeuke, ili kwamba dhambi zenu ziweze kuondolewa kabisa, kusudi zije nyakati za kuburudika kutokana na uwepo wa Bwana;
Matendo ya Mitume 3 in Biblia ya Kiswahili