Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 24

Matendo 24:12-14

Help us?
Click on verse(s) to share them!
12Wayahudi hawakunikuta nikijadiliana na mtu yeyote. Hawakunikuta nikichochea watu Hekaluni wala katika masunagogi yao, wala mahali pengine popote katika mji huo.
13Wala hawawezi kuthibitisha mashtaka waliyotoa juu yangu.
14Ninachokubali mbele yako ni hiki: Mimi ninamwabudu Mungu na wazee wetu nikiishi kufuatana na Njia ile ambayo wao wanaiita chama cha uzushi. Ninaamini mambo yote yaliyoandikwa katika vitabu vya Sheria na manabii.

Read Matendo 24Matendo 24
Compare Matendo 24:12-14Matendo 24:12-14