Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Matendo 16:30-32 in Swahili (individual language)

Help us?

Matendo 16:30-32 in Biblia Takatifu

30 Halafu aliwaongoza nje, akawauliza, “Waheshimiwa, nifanye nini nipate kuokoka?”
31 Wao wakamjibu, “Mwamini Bwana Yesu nawe utaokolewa pamoja na jamaa yako yote.”
32 Basi, wakamhubiria neno la Bwana yeye pamoja na jamaa yake.
Matendo 16 in Biblia Takatifu

Matendo ya Mitume 16:30-32 in Biblia ya Kiswahili

30 na kuwatoa nje ya gereza na kusema, “Waheshimiwa, nifanye nini ili nipate kuokoka?”
31 Nao wakamwambia, “Mwamini Bwana Yesu nawe utaokoka pamoja na nyumba yako.”
32 Walinena neno la Bwana kwake, pamoja na watu wote wa nyumbani kwake,
Matendo ya Mitume 16 in Biblia ya Kiswahili