Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Matendo 13:19-20 in Swahili (individual language)

Help us?

Matendo 13:19-20 in Biblia Takatifu

19 Aliyaangamiza mataifa ya nchi ya Kanaani akawapa hao watu wake ile nchi kuwa mali yao.
20 Miaka mia nne na hamsini ilipita, halafu akawapatia waamuzi wawaongoze mpaka wakati wa nabii Samweli.
Matendo 13 in Biblia Takatifu

Matendo ya Mitume 13:19-20 in Biblia ya Kiswahili

19 Baada ya kuyaharibu mataifa saba katika nchi ya Kaanani, aliwapa watu wetu nchi yao kwa urithi.
20 Matukio haya yote yalitokea zaidi ya miaka mia nne na hamsini. Baada ya vitu hivi vyote, Mungu aliwapa waamuzi mpaka Samweli Nabii.
Matendo ya Mitume 13 in Biblia ya Kiswahili