Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Matendo 10:22 in Swahili (individual language)

Help us?

Matendo 10:22 in Biblia Takatifu

22 Wao wakamjibu, “Jemadari Kornelio ambaye ni mtu mwema, mcha Mungu na mwenye kuheshimika mbele ya Wayahudi wote ametutuma. Aliambiwa na malaika mtakatifu akualike nyumbani kwake ili asikilize chochote ulicho nacho cha kusema.”
Matendo 10 in Biblia Takatifu

Matendo ya Mitume 10:22 in Biblia ya Kiswahili

22 Wakasema, “Akida mmoja jina lake Kornelio, mtu wa haki na hupenda kumwabudu Mungu, na watu humsema vyema katika taifa lote la kiyahudi, ameambiwa na malaika wa Mungu kukutuma ili kwenda kwenye nyumba yake, ili asikie ujumbe kutoka kwako.”
Matendo ya Mitume 10 in Biblia ya Kiswahili