Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Matendo 10:14-15 in Swahili (individual language)

Help us?

Matendo 10:14-15 in Biblia Takatifu

14 Petro akajibu, “La, Bwana; mimi sijaonja kamwe chochote ambacho ni najisi au kichafu.”
15 Ile sauti ikasikika tena ikimwambia: “Usiviite najisi vitu ambavyo Mungu amevitakasa!”
Matendo 10 in Biblia Takatifu

Matendo ya Mitume 10:14-15 in Biblia ya Kiswahili

14 Lakini Petro akasema “Siyo hivyo, Bwana kwa sababu sijawahi kula kitu chochote najisi na kichafu.
15 Lakini sauti ikaja kwake tena kwa mara ya pili “Alichokitakasa Mungu usikiite najisi wala kichafu”.
Matendo ya Mitume 10 in Biblia ya Kiswahili