Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Marko - Marko 4

Marko 4:35-36

Help us?
Click on verse(s) to share them!
35Katika siku hiyo, wakati wa jioni ulipowadia, akasema kwao, “Twendeni upande wa pili”.
36Hivyo wakauacha umati, wakamchukua Yesu, wakati huo tayari alikuwa ndani ya mtumbwi. Mitumbwi mingine ilikuwa pamoja naye.

Read Marko 4Marko 4
Compare Marko 4:35-36Marko 4:35-36