Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mambo ya Walawi 6:7-9 in Swahili (individual language)

Help us?

Mambo ya Walawi 6:7-9 in Biblia ya Kiswahili

7 Kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake mbele ya Bwana, atakuwa amesamehewa kulingana na chochote kilicho mfanya kuwa na hatia.”
8 Ndipo Bwana alisema na Musa kumwambia,
9 “Mwagize Haruni na wanawe, kusema, 'hii ni sheria ya sadaka ya kuteketezwa: Sadaka ya kuteketezwa lazima iwe juu ya makaa ya madhabahu usiku wote hata asubuhi, na moto wa madhabahu utaendelea kuwaka.
Mambo ya Walawi 6 in Biblia ya Kiswahili