Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mambo ya Walawi - Mambo ya Walawi 6

Mambo ya Walawi 6:7-9

Help us?
Click on verse(s) to share them!
7Kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake mbele ya Bwana, atakuwa amesamehewa kulingana na chochote kilicho mfanya kuwa na hatia.”
8Ndipo Bwana alisema na Musa kumwambia,
9“Mwagize Haruni na wanawe, kusema, 'hii ni sheria ya sadaka ya kuteketezwa: Sadaka ya kuteketezwa lazima iwe juu ya makaa ya madhabahu usiku wote hata asubuhi, na moto wa madhabahu utaendelea kuwaka.

Read Mambo ya Walawi 6Mambo ya Walawi 6
Compare Mambo ya Walawi 6:7-9Mambo ya Walawi 6:7-9