Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mambo ya Walawi - Mambo ya Walawi 12

Mambo ya Walawi 12:1-2

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Yahweh akamwambia Musa,
2“zungumza na watu wa Israeli, uwaambie, 'endapo mwanamke anakuwa mjamzito na kujifungua mtoto wa kiume, naye atakuwa najisi kwa muda wasiku saba, ni kama tu vile anavyokuwa najisi katika siku za kipindi chake kwa mwezi.

Read Mambo ya Walawi 12Mambo ya Walawi 12
Compare Mambo ya Walawi 12:1-2Mambo ya Walawi 12:1-2