Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Mambo ya Walawi 11:10-11 in Swahili (individual language)

Help us?

Mambo ya Walawi 11:10-11 in Biblia ya Kiswahili

10 Lakini viumbe wote hai wasio na mapezi na magamba waliomo baharini au mitoni, pamoja na wale waendao majini na viumbe hai waliomo majini —watakuwa chukizo kwenu.
11 Kwa kuwa watakuwa chukizo, msile nyama yao, pia mizoga yao sharti itakuwa chukizo.
Mambo ya Walawi 11 in Biblia ya Kiswahili