Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Luka - Luka 9

Luka 9:51-55

Help us?
Click on verse(s) to share them!
51Ikatokea kwamba, kulinga na siku zilivyokua zikikaribia zsiku zake za kwenda mbinguni, kwa uimara alielekeza uso wake Yerusalemu.
52Akatuma wajumbe mbele yake, nao wakaenda na kuingia katika kijiji cha Wasamaria ili wamtayarishie mahali.
53Lakini watu huko hawakumpokea, kwasababu alikua ameelekeza uso wake Yerusalemu.
54Wanafunzi wake Yakobo na Yohana walipo liona hili, wakasema, “Bwana unahitaji tuamuru moto ushuke chini kutoka mbinguni uwateketeze?”
55Lakini aliwageukia akawakemea.

Read Luka 9Luka 9
Compare Luka 9:51-55Luka 9:51-55