Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Luka - Luka 9

Luka 9:30-33

Help us?
Click on verse(s) to share them!
30Na tazama, walikuwepo wanaume wawili wakiongea naye! Walikuwa Musa na Elia,
31walionekana katika utukufu. Waliongea kuhusu kuondoka kwake, jambo ambalo alikaribia kulitimiza Yerusalem.
32Sasa Petro na wale waliokua pamoja naye walikuwa katika usingizi mzito. Lakini walipokuamka, waliuona utukufu wake na wanaume wawili waliokuwa wamesimama pamoja nae.
33Ikatokea kwamba, walipokuwa wakiondoka kwa Yesu, Petro akamwambia, “Bwana, ni vizuri kwetu kukaa hapa na inatupasa tutengeneze makazi ya watu watatu. Tutengeneze moja kwa ajili yako, moja kwa ajili ya Musa, na moja kwa ajili ya Eliya.” Hakuelewa alichokuwa akiongelea.

Read Luka 9Luka 9
Compare Luka 9:30-33Luka 9:30-33