Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Luka 6:45 in Swahili (individual language)

Help us?

Luka 6:45 in Biblia Takatifu

45 Mtu mwema hutoa yaliyo mema kutoka katika hazina bora iliyo moyoni mwake; na mtu mbaya hutoa yaliyo mabaya katika hazina mbaya iliyo moyoni mwake, kwa maana mtu huongea kutokana na yale yaliyojaa moyoni mwake.
Luka 6 in Biblia Takatifu

Luka 6:45 in Biblia ya Kiswahili

45 Mtu mwema katika hazina njema ya moyo wake hutoa yaliyo mema, na mtu mwovu katika hazina mbovu ya moyo wake hutoa yaliyo maovu. Kwa sababu kinywa chake husema yale yaujazayo moyo wake.
Luka 6 in Biblia ya Kiswahili