Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Luka 24:25-26 in Swahili (individual language)

Help us?

Luka 24:25-26 in Biblia Takatifu

25 Kisha Yesu akawaambia, “Mbona mu wapumbavu kiasi hicho na mioyo yenu ni mizito hivyo kusadiki yote yaliyonenwa na manabii?
26 Je, haikumpasa Kristo kuteswa, na hivyo aingie katika utukufu wake?”
Luka 24 in Biblia Takatifu

Luka 24:25-26 in Biblia ya Kiswahili

25 Yesu akawaambia, “Ninyi watu wajinga na wenye mioyo mizito ya kuamini yote ambayo manabii wamesema!
26 Je haikuwa lazima Yesu kuteseka kwa mambo haya, na kuingia katika utukufu wake?”
Luka 24 in Biblia ya Kiswahili