Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Luka - Luka 1

Luka 1:53-61

Help us?
Click on verse(s) to share them!
53Aliwashibisha wenye njaa kwa vitu vizuri, bali matajiri amewafukuza mikono mitupu.
54Ametoa msaada kwa Israeli mtumishi wake, ili kukumbuka kuonesha rehema
55(kama alivyosema kwa baba zetu) kwa Abrahamu na uzao wake milele.”
56Mariamu alikaa na Elizabeti yapata miezi mitatu hivi ndipo akarudi nyumbani kwake.
57Sasa wakati ulikuwa umewadia kwa Elizabeti kujifungua mtoto wake na akajifungua mtoto wa kiume.
58Jirani zake na ndugu zake walisikia jinsi Bwana alivyoikuza rehema kwake, na wakafurahi pamoja naye.
59Sasa ilitokea siku ya nane kwamnba walikuja kumtahiri mtoto. Ingewapasa kumwita jina lake, “Zekaria,” kwa kuzingatia jina la baba yake,
60Lakini mama yake akajibu na kusema, “Hapana; ataitwa Yohana.”
61Wakamwambia, hakuna hata mmoja katika ndugu zako anayeitwa kwa jina hili.”

Read Luka 1Luka 1
Compare Luka 1:53-61Luka 1:53-61