Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Luka - Luka 19

Luka 19:5-9

Help us?
Click on verse(s) to share them!
5Wakati Yesu alipofika mahali pale, aliangalia juu akamwambia, 'Zakayo, shuka upesi, maana leo ni lazima nishinde nyumbani mwako.'
6Akafanya haraka, akashuka na kumkaribisha kwa furaha.
7Watu wote walipoona hayo, wakalalamika, wakisema, 'Amekwenda kumtembelea mtu mwenye dhambi.'
8Zakayo akasimama akamwambia Bwana, Tazama Bwana nusu ya mali yangu nawapa maskini, na ikiwa nimemnyang'anya mtu yeyote kitu, nitamrudishia mara nne.'
9Yesu akamwambia, 'Leo wokovu umefika katika nyumba hii, kwa sababu yeye pia ni mwana wa Ibrahimu.

Read Luka 19Luka 19
Compare Luka 19:5-9Luka 19:5-9