Text copied!
BREAK EVERY YOKE
About
Bibles
All Languages
All Translations
All Countries
Back to Homepage
About Break Every Yoke
Bibles in Swahili (individual language)
Luka 18:8-9 in Swahili (individual language)
Help us?
Luka 18:8-9
in
Biblia Takatifu
8
Nawaambieni atawatetea upesi. Hata hivyo, je, kutakuwako na imani duniani wakati Mwana wa Mtu atakapokuja?”
9
Halafu Yesu aliwaambia pia mfano wa wale ambao walijiona kuwa wema na kuwadharau wengine.
Luka 18 in Biblia Takatifu
Luka 18:8-9
in
Biblia ya Kiswahili
8
Nawaambia kwamba ataleta haki kwao upesi. Lakini wakati Mwana wa Adamu atakapokuja, je, atakuta imani duniani?'
9
Ndipo akawaambia mfano huu kwa baadhi ya watu ambao wanajiona wenyewe kuwa wenye haki na kuwadharau watu wengine,
Luka 18 in Biblia ya Kiswahili
Home
About
Donate
Patreon
Privacy
Terms