Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Luka 16:11-12 in Swahili (individual language)

Help us?

Luka 16:11-12 in Biblia Takatifu

11 Kama basi, ninyi si hamjawa waaminifu mali mbaya za dunia, ni nani atakayewakabidhi zile mali za kweli?
12 Na kama hamjakuwa waaminifu katika mali ya mtu mwingine, ni nani atakayewakabidhi mali yenu wenyewe?
Luka 16 in Biblia Takatifu

Luka 16:11-12 in Biblia ya Kiswahili

11 Kama ninyi hamkuwa waaminifu katika mali ya udhalimu ni nani atakayewaamini katika mali ya kweli?
12 Na kama hamkuwa waaminifu katika kutumia mali ya mtu mwingine ni nani atakayewapa iliyo yenu wenyewe?
Luka 16 in Biblia ya Kiswahili