Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Luka 11:9-10 in Swahili (individual language)

Help us?

Luka 11:9-10 in Biblia Takatifu

9 Kwa hiyo, ombeni, nanyi mtapewa, tafuteni, nanyi mtapata, bisheni nanyi mtafunguliwa.
10 Maana yeyote aombaye hupewa, atafutaye hupata na abishaye hufunguliwa.
Luka 11 in Biblia Takatifu

Luka 11:9-10 in Biblia ya Kiswahili

9 Nami pia nawaambieni, Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtapata, pigeni hodi nanyi mtafunguliwa.
10 Kwa kuwa kila mtu aombaye atapokea, na kila mtu atafutaye atapata, na kila mtu apigaye hodi, mlango utafunguliwa kwake.
Luka 11 in Biblia ya Kiswahili