Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Kutoka 21:15-20 in Swahili (individual language)

Help us?

Kutoka 21:15-20 in Biblia ya Kiswahili

15 Yeyote atakaye mpiga baba au mama yake lazima auawe.
16 Yeyote atakaye mteka mtu na kumuuza, au mtu amekutwa kama mali yake, huyo mtekaji lazima auawe.
17 Yeyote atakaye mlaani baba au mama yake lazima auawe.
18 Kama wanaume watapigana na mmoja akimpiga mwengine kwa jiwe au ngumi, na huyo mtu asife, lakini alazwe kitandani;
19 kisha akapona na anaweza kutembea kwa gongo lake, yeye aliye mpiga lazima alipe muda aliye mpotezea; na lazima alipe matibabu yake yote. Lakini huyo mtu hana hatia ya mauaji.
20 Kama mwanaume akimpiga mtumishi wake wa kiume au wa kike kwa gongo, na kama mtumishi huyo akifa kwa madhara ya pigo, kisha huyo mtu lazima ahadhibiwe.
Kutoka 21 in Biblia ya Kiswahili