Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Isaya 65:21-24 in Swahili (individual language)

Help us?

Isaya 65:21-24 in Biblia ya Kiswahili

21 Watazijenga nyumba na kukaa huko, na watapanda mizabibu na kula matunda yake.
22 Hawatajenga nyumba na wengine waishi humo; hawatapanda, na wengine wale; maana kama siku za miti zitakuwa siku za watu wangu. Watu wangu wataishi kikamilifu kwa kazi ya mikono yao.
23 Hawatafanya kazi bure, wala kuzaa kwa kusikitishwa. Maana ni watoto wa waliobarikiwa na Yahwe, pamoj na koo zao.
24 Kabla hawajaita, nitaitika; na wakati wanaendele kuzungumza, ntisikia. Mbwa mwitu na kondoo watachungwa pamoja, na simba atakula majani kama ng'ombe; lakini udongo utakuwa chakula cha nyoka.
Isaya 65 in Biblia ya Kiswahili