Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Hesabu 24:6-7 in Swahili (individual language)

Help us?

Hesabu 24:6-7 in Biblia ya Kiswahili

6 Wamesambaa kama bonde, kama bustani zilizo pembezoni mwa mto, Kama miti ya mishubiri iliyopandwa na BWANA, ni kama mfano wa mielezi pembezoni mwa maji.
7 Maji yanatiririka katika ndoo zao, na mbegu zao zimemwagiwa maji vizuri. Mfalme wao atakuwa juu ya Agagi, na ufalme wao utaheshimiwa.
Hesabu 24 in Biblia ya Kiswahili